Tuesday, 12 July 2016

HIVI NDIVYO ILIVYOKUWA BAADA YA CR7 NA TIMU YAKE KUREJEA URENO


 3627C74B00000578-3684274-The_Portugal_bus_arrives_at_the_airport_as_the_country_s_heroes_-a-114_1468241690596

Usiku wa 2016 July 10 timu ya taifa ya Ureno ilifanikiwa kushinda Kombe la mataifa ya Ulaya a.k.a Euro, kwa kuinyuka timu ya taifa ya Ufaransa goli 1-0, goli ambalo lilifungwa na na Eder dakika ya 109 katika uwanja wa Stade de France.
3627C23900000578-3684274-Ronaldo_and_Nani_enjoy_the_celebrations-a-119_1468241690836
Baada ya ushindi huo July 11 2016 kikosi cha timu ya taifa ya Ureno kiliwasili Lisbon Ureno wakiwa na Kombe lao na kupata mapokezi makubwa kutoka kwa raia wa nchi hiyo, Ronaldo na wachezaji wenzaji waliwasili Ureno na kutembeza Kombe wakiwa katika basi la wazi.
Tazama picha hapa chini kisha tuambie kipi kifanyike kwa timu ya Taifa TANZANIA yaani TAIFA STARS ili siku moja macho yote Africa yaelekezwe Tanzania


3629C5E100000578-3684274-image-a-143_1468244718738


3628CB1900000578-3684274-Cristiano_Ronaldo_holds_aloft_the_European_Championship_title_af-a-116_1468241690686

Pamoja na kuwa Ufaransa waliweza kusakata kabumbu safi mwisho wa dak 120 ushindi ulilazimika kwenda kwa mshindi kwani ndivyo zilivyo sheria za soka duniani.





No comments:

Post a Comment