
Usiku
wa 2016 July 10 timu ya taifa ya Ureno ilifanikiwa kushinda Kombe la
mataifa ya Ulaya a.k.a Euro, kwa kuinyuka timu ya taifa ya Ufaransa
goli 1-0, goli ambalo lilifungwa na na Eder dakika ya 109 katika uwanja
wa Stade de France.

Baada
ya ushindi huo July 11 2016 kikosi cha timu ya taifa ya Ureno kiliwasili
Lisbon Ureno wakiwa na Kombe lao na kupata mapokezi makubwa kutoka kwa
raia wa nchi hiyo, Ronaldo na wachezaji
wenzaji waliwasili Ureno na kutembeza Kombe wakiwa katika basi la wazi.
Tazama
picha hapa chini kisha tuambie kipi kifanyike kwa timu ya Taifa TANZANIA yaani
TAIFA STARS ili siku moja macho yote Africa yaelekezwe Tanzania


Pamoja na kuwa Ufaransa waliweza kusakata kabumbu safi mwisho wa dak 120 ushindi ulilazimika kwenda kwa mshindi kwani ndivyo zilivyo sheria za soka duniani.
No comments:
Post a Comment